Eric Bailly (kulia) akikimbia kushangilia na Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City jioni ya leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea, Wales kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lukaku dakika ya 80, Paul Pogba dakika ya 82 na Anthony Martial dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Jones Jr warns Jake Paul about how hard Mike Tyson can STILL punch in
his 50s... as he compares boxing legend's power to an animal!
-
Tyson, 57, and Paul will lock horns at the 80,000-seat AT&T Stadium in
Arlington, Texas, on July 20 in an exhibition bout streamed live on Netflix.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment