Eric Bailly (kulia) akikimbia kushangilia na Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City jioni ya leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea, Wales kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lukaku dakika ya 80, Paul Pogba dakika ya 82 na Anthony Martial dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment