Eric Bailly (kulia) akikimbia kushangilia na Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City jioni ya leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea, Wales kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lukaku dakika ya 80, Paul Pogba dakika ya 82 na Anthony Martial dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry, 48, reveals the three secrets behind his new muscular
physique, as Arsenal legend works out with partner Andrea Rajacic
-
Thierry Henry may have long retired from his legendary playing career but
the ex-Arsenal and Barcelona striker is still in formidable shape.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment