MBWANA SAMATTA KAZINI UBELGIJI JANA GENK WAKIBANWA NYUMBANI 2-2
Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania Mbwana Samatta akimtoka beki wa Waasland-Beveren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji usiku wa jana Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk, timu hizo zikitoka sare ya 2-2 mabao ya wenyeji yakifungwa na Nikolaos Karelis dakika ya 35' na Laurent Jans aliyejifunga dakika ya 73, wakati ya wageni yalifungwa na Ibrahima Seck dakika ya saba na Jonathan Buatu dakika ya 23
Samatta akipambana na beki wa Waasland-Beveren Uwanja wa Luminus Arena jana
Samatta akijaribu kumuondoa njiani beki wa Waasland-Beveren jana
Samatta akimfunga tela na beki wa Waasland-Beveren Uwanja wa Luminus Arena jana
Samatta akifumua shuti katika mchezo mgumu wa jana mjini Genk
Über Tische und Bänke
-
Nach dem Abpfiff brachen alle Dämme. Die Mannschaft stürmte auf ihre Fans
zu. 2.000 waren es, 80.000 weniger als im Hinspiel, doch sie waren das
ganze Spie...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment