• HABARI MPYA

    Monday, August 15, 2016

    MBWANA SAMATTA KAZINI UBELGIJI JANA GENK WAKIBANWA NYUMBANI 2-2

    Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania Mbwana Samatta akimtoka beki wa Waasland-Beveren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji usiku wa jana Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk, timu hizo zikitoka sare ya 2-2 mabao ya wenyeji yakifungwa na Nikolaos Karelis dakika ya 35' na Laurent Jans aliyejifunga dakika ya 73, wakati ya wageni yalifungwa na Ibrahima Seck dakika ya saba na Jonathan Buatu dakika ya 23
    Samatta akipambana na beki wa Waasland-Beveren Uwanja wa Luminus Arena jana
    Samatta akijaribu kumuondoa njiani beki wa Waasland-Beveren jana
    Samatta akimfunga tela na beki wa Waasland-Beveren Uwanja wa Luminus Arena jana
    Samatta akifumua shuti katika mchezo mgumu wa jana mjini Genk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBWANA SAMATTA KAZINI UBELGIJI JANA GENK WAKIBANWA NYUMBANI 2-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top