• HABARI MPYA

    Tuesday, August 16, 2016

    MKENYA DAVID RUDISHA AWEKA REKODI MPYA OLIMPIKI TANGU 1964

    Mwanariadha wa Kenya, David Rudisha akimalizia mbio za mita 800 Wanaume Olimpiki mjini Rio na kuweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kutetea Medali ya Dhahabu ya mbio hizo tangu mwaka 1964, baada ya kuvunja rekodi ya dunia katika Olimpiki ya London 2012 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKENYA DAVID RUDISHA AWEKA REKODI MPYA OLIMPIKI TANGU 1964 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top