Wachezaji wa Liverpool wakimrukia kocha wao, Jurgen Klopp kushangilia ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji, Arsenal Uwanja wa Emirates leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho mawili, Adam Lallana na Sadio Mane, wakati ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott aliyekosa penalti pia, Alex Oxlade-Chamberlain na Calum Chambers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue communities sign statewide Resource Sharing Agreement to strengthen
peace
-
… Alia calls for Peaceful Resource Mgt From Scholastica Hir, Makurdi
Communities across Benue State have signed a statewide Natural Resource
Sharing Agre...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment