Wachezaji wa Liverpool wakimrukia kocha wao, Jurgen Klopp kushangilia ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji, Arsenal Uwanja wa Emirates leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho mawili, Adam Lallana na Sadio Mane, wakati ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott aliyekosa penalti pia, Alex Oxlade-Chamberlain na Calum Chambers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Houston Texans receiver Tank Dell was 'a victim of a shooting in Florida on
Saturday night', the team announces... before being released from hospital
with a 'minor wound': 'He's in good spirits'
-
Texans wide receiver Tank Dell was the victim of a shooting on Saturday
night, according to the team.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment