Wachezaji wa Liverpool wakimrukia kocha wao, Jurgen Klopp kushangilia ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji, Arsenal Uwanja wa Emirates leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho mawili, Adam Lallana na Sadio Mane, wakati ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott aliyekosa penalti pia, Alex Oxlade-Chamberlain na Calum Chambers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moses Itauma and Filip Hrgovic weigh-in descends into chaos as British star
PUSHES rival off stage - before being SLAPPED
-
CHARLOTTE DALY: But when Hrgovic stepped in front of Itauma, the Brit
shoved him forward, sending his opponent tumbling off the stage.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment