Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akinyoosha mkono kufurahia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 41, 78 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Steaua-Bucharest kwenye mchezo wa kuwania hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nationala mjini Bucharest, Romania. Mabao mengine ya City ambayo pamoja na Steaua-Bucharest zinatinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa yamefungwa na David Silva dakika ya 13 na Nolito dakika ya 49, wakati Aguero pia alikosa penalti mbili dakika ya nane na 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag says Jadon Sancho's stellar display for Borussia Dortmund
against PSG is good news for Man United… because exiled winger's value will
go up!
-
Sancho's revival on loan at his old club in Germany continued when he
produced a man-of-the-match performance in Dortmund's Champions League
semi-final win
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment