Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akinyoosha mkono kufurahia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 41, 78 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Steaua-Bucharest kwenye mchezo wa kuwania hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nationala mjini Bucharest, Romania. Mabao mengine ya City ambayo pamoja na Steaua-Bucharest zinatinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa yamefungwa na David Silva dakika ya 13 na Nolito dakika ya 49, wakati Aguero pia alikosa penalti mbili dakika ya nane na 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton claim 2-0 win over Crystal Palace, Premier League new boys Ipswich
stun Sunderland and Leeds leave it late against Nottingham Forest
-
Everton beat Crystal Palace 2-0 in front of Prime Minister Andy Burnham,
Ipswich upset Sunderland on their return to the Premier League and Leeds
earned th...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment