Mshambuliaji Luis Suarez akipiga nje uzio wa benchi la wachezaji wa akina kwa hasira baada ya Uruguay kuruhusu bao ikilala 1-0 mbele ya Venezuela bao pekee la Salomon Rondon katika mchezo wa Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Lincoln Financial Field mjini Philadelphia, Marekani. Venezuela imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment