Beki wa England, Gary Cahill akijaribu kuupitia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Urusi, Fedor Smolov katika mchezo wa Kundi B Euro 2016 usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stade Velodrome, Marseille, Ufaransa. Timu hizo zimetola sare ya 1-1, England wakitangulia kwa bao la Eric Dier dakika ya 73, kabla ya Vasili Berezutski kuisawazishia Urusi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newey has 'no plan' for future after Red Bull
-
Adrian Newey says he has “no plan” for his future following his decision to
quit Red Bull early next year.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment