Dimitri Payet akikimbia kushangilia na Olivier Giroud baada ya kuifungia Ufaransa bao la ushindi dakika ya 89 ikiilaza 2-1 Romania katika mchezo wa ufunguzi wa Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la Ufaransa katika mchezo huo wa Kundi A, lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 57, wakati la Romania lilifungwa na Bogdan Stancu kwa penalti dakika ya 25, baada ya Patrice Evra kumchezea rafu Nicolae Stanciu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NHL Draft Lottery 2024: Selection Order Results, Analysis and Social Media
Reaction
-
The future is about to look much brighter for one NHL team. The 2024 NHL
draft lottery is Tuesday at 6:30 p.m. ET, which means 11 teams will be
anxiously…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment