• HABARI MPYA

    Saturday, June 11, 2016

    UFARANSA YAANZA VYEMA EURO 2016, YAILAZA ROMANIA 2-1

    Dimitri Payet akikimbia kushangilia na Olivier Giroud baada ya kuifungia Ufaransa bao la ushindi dakika ya 89 ikiilaza 2-1 Romania katika mchezo wa ufunguzi wa Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la Ufaransa katika mchezo huo wa Kundi A, lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 57, wakati la Romania lilifungwa na Bogdan Stancu kwa penalti dakika ya 25, baada ya Patrice Evra kumchezea rafu Nicolae Stanciu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YAANZA VYEMA EURO 2016, YAILAZA ROMANIA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top