• HABARI MPYA

    Saturday, June 11, 2016

    SAFARI YA MWISHO YA MFALME WA MASUMBWI MUHAMMAD ALI

    Umati wa watu uliojitokeza katika safari ya mazishi ya bondia gwiji duniani, Muhammad Ali jana aliyefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 74 baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson kwa miaka 32 ukipita eneo la Louisville, Marekani  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAFARI YA MWISHO YA MFALME WA MASUMBWI MUHAMMAD ALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top