Winga wa Argentina, Angel Di Maria akimtoka beki wa Chile, Gary Medel katika mchezo wa Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Levi mjini Santa Maria, Marekani. Argentina iliyocheza bila nyota wake, Lionel Messi, imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Angel di Maria na Ever Banega, wakati la Chile limefungwa na Jose Fuenzalida PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter FitzSimons reignites his feud with James Graham after the footy star
called him a 'parasite'
-
Columnist and renowned author Peter FitzSimons has reignited his ugly feud
with James Graham after the former footy star turned NRL commentator
recently ca...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment