// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC 'WALIVYOMEKWA KAMASI' NA RUVU SHOOTING JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC 'WALIVYOMEKWA KAMASI' NA RUVU SHOOTING JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, January 18, 2015

    YANGA SC 'WALIVYOMEKWA KAMASI' NA RUVU SHOOTING JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akienda chini baada ya kupigwa kumbo na beki wa Ruvu Shooting, George Michael katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akimtoka beki wa Ruvu, George Michael
    Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimuacha chini beki wa Ruvu Shooting, Salvatory Ntebe
    Beki wa Ruvu, Hamisi Kasanga akilala chini kuondoa mpira miguuni mwa winga wa Yanga SC, Andrey Coutinho
    Beki wa Ruvu, Said Madega akimdhibiti winga wa Yanga SC, Simon Msuva
    Beki wa Ruvu, Michael Aidan akimdhibiti winga wa Yanga SC, Andrey Coutinho

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC 'WALIVYOMEKWA KAMASI' NA RUVU SHOOTING JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top