// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, January 14, 2015

    SIMBA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA

    Mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mtibwa Sugar, David Luhende katika Fainali ya Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba SC ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare 0-0 ndani ya dakika 90.
    Beki wa Mtibwa Sugar, Salim Mbonde (kushoto) akiruka dhidi ya mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajibu kuwania mpira wa juu
    Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (katikati) akipambana na wachezaji wa Mtibwa Sugar
    Beki wa Simba SC, Hassan Kessy akimfunga tela mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Mussa Hassan Mgosi
     Kiungo wa Simba SC, Awadh Juma akimtoka kiungo wa Mtibwa, Ally Shomary
    Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally akimiliki mpira mbele ya beki wa Simba SC, Juuko Murushid
    Nahodha wa Simba SC, Hassan Isihaka akiwa ameinua juu Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Wachezaji wakifurahia na Kombe
    Wachezaji wakifurahia na Kombe lao
    Wachezaji na shabiki kushoto wakifurahia na Kombe lao
    Kocha Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matola wa pili kushoto akifurahia Kombe na rafiki zake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top