// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); JAPO SIMBA SC IMESHINDA, LAKINI KOPUNOVIC... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE JAPO SIMBA SC IMESHINDA, LAKINI KOPUNOVIC... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 03, 2015

    JAPO SIMBA SC IMESHINDA, LAKINI KOPUNOVIC...

    Kocha mpya wa Simba SC, Mserbia Goran Kopunovic akinywa maji dakika za mwishoni wakati wa mchezo wa Kundi C, Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mafunzo Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba SC ilishinda 1-0, lakini mchezo ulikuwa mgumu upande wao.
    Baada ya filimbi ya mwisho, Kopunovic pamoja na kuanza na ushindi katika mechi ya kwanza tangu arithi mikoba ya Mzambia, Patrick Phiri alitoka uwanjani ameinamisha kichwa chini kama mtu anayetafakari. Unadhani alikuwa anawaza nini?  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JAPO SIMBA SC IMESHINDA, LAKINI KOPUNOVIC... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top