// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BABU YANGA ALIPONG'ATA ULIMI GWARIDE LA JKU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BABU YANGA ALIPONG'ATA ULIMI GWARIDE LA JKU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, January 08, 2015

    BABU YANGA ALIPONG'ATA ULIMI GWARIDE LA JKU

    Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm akiwa ameng'ata ulimi wakati dakika zikiyoyoma katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya JKU Uwanja wa Amaan, Zanzibar usuku wa leo. Yanga imefungwa 1-0 na kutolewa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BABU YANGA ALIPONG'ATA ULIMI GWARIDE LA JKU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top