WAKATI Fainali za Kombe la Dunia zinaanza keshokutwa, BIN ZUBERY inakuletea wanasoka wenye magari mazuri zaidi, ambao watacheza michuano hiyo mwaka huu nchini Brazil.
Ama ukitazama ubora wa Maybach, au kasi ya Ferrari, nyota hao hakika wan a fedha za kuchoma kwa ajili ya mafuta.
Ina kasi sana: Ronaldo akiendesha Lamborghini Aventador LP 700-4 akiwa na mtoto wake kiume
Lionel Messi ana Maserati GranTurismo MC Stradale la Pauni 107,000.
Wayne Rooney ana Aston Martin Vanquish la Pauni 166,000
Wazza: Wayne Rooney akiwasili mazoezini Manchester United na Aston Martin Vanquish lake
Samuel Eto’o ana Maybach 57 S Xanatec Coupe ambazo kila moja ina thamani ya Pauni 600,000
Mwanga: Samuel Eto'o akiwa na Maybachs zake, ambazo zote zina thamani ya Pauni Milioni 4million
Mario Balotelli ana Ferrari F12 ambazo thamani yake halisi haijatajwa
Nyota dunia inamjua: Balotelli na juu ni gari lake
Neymar ana Audi R8 GT la Pauni 148,000
Mambo ya Samba: Neymar akiendesha Audi R8 lake la Pauni 150,000
Ribery ana Lamborghini Gallardo LP560-4 Spyder la Pauni 133,000,
Chombo cha moto: Franck Ribery japokuwa atakosa Kombe la Dunia kwa sababu ya majeruhi, lakini naye ana Lamborghini Gallardo la kumfariji



.png)
0 comments:
Post a Comment