• HABARI MPYA

    Saturday, October 27, 2012

    ARTETA AING'ARISHA ARSENAL ENGALND


    Bao pekee la Mikel Arteta dakika za lala salama, limeipa Arsenal ushindi wa 1-0 dhidi ya QPR jioni hii kwenye Uwanja wa Emirates katika mchezo wa Ligi Kuu England, ambao ilishuhudiwa kiungo Jack Wilshere akirejea kwenye kikosi cha The Gunners baada ya zaidi ya mwaka wa kuwa nje kwa majeruhi. 
    Spain gain: Mikel Arteta poked home a late winner for Arsenal against 10-men QPR
    Mikel Arteta akishangilia Spain gain: Mikel Arteta poked home a late winner for Arsenal against 10-men QPR 
    Arteta anafunga
    He's back: Jack Wilshere made his first appearance for the Gunners in 524 days
     Jack Wilshere amerudi 
    He's back: Jack Wilshere made his first appearance for the Gunners in 524 days
    He's Bac too: As well as Wilshere, Bacary Sagna was appearing for the first time this season
    Bacary Sagna amecheza mechi ya kwanza msimu huu
    Hooped: Aaron Ramsey continued to be deployed on the right before switching back to the middle
    Aaron Ramsey anapasua kijiji

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk/sport/
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ARTETA AING'ARISHA ARSENAL ENGALND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top