• HABARI MPYA

        Saturday, October 27, 2012

        ARTETA AING'ARISHA ARSENAL ENGALND


        Bao pekee la Mikel Arteta dakika za lala salama, limeipa Arsenal ushindi wa 1-0 dhidi ya QPR jioni hii kwenye Uwanja wa Emirates katika mchezo wa Ligi Kuu England, ambao ilishuhudiwa kiungo Jack Wilshere akirejea kwenye kikosi cha The Gunners baada ya zaidi ya mwaka wa kuwa nje kwa majeruhi. 
        Spain gain: Mikel Arteta poked home a late winner for Arsenal against 10-men QPR
        Mikel Arteta akishangilia Spain gain: Mikel Arteta poked home a late winner for Arsenal against 10-men QPR 
        Arteta anafunga
        He's back: Jack Wilshere made his first appearance for the Gunners in 524 days
         Jack Wilshere amerudi 
        He's back: Jack Wilshere made his first appearance for the Gunners in 524 days
        He's Bac too: As well as Wilshere, Bacary Sagna was appearing for the first time this season
        Bacary Sagna amecheza mechi ya kwanza msimu huu
        Hooped: Aaron Ramsey continued to be deployed on the right before switching back to the middle
        Aaron Ramsey anapasua kijiji

        SOURCE: http://www.dailymail.co.uk/sport/
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: ARTETA AING'ARISHA ARSENAL ENGALND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry