• HABARI MPYA

    Tuesday, October 30, 2012

    DI CANIO: KUWAFUNGA VILLA TAMU KULIKO PENZI LA MADONNA


    KOCHA Paolo Di Canio amesema kwamba Swindon kuifunga Aston Villa katika michuano ya Kombe la Capital One itakuwa tamu kuliko kulala kitandani na Madonna.
    Di Canio anaikaribisha Villa kwenye Uwanja wa County Ground leo usiku na kocha huyo wa Robins amepania kuwafunga wapinzani wake hao wanaocheza Ligi Kuu England.
    Mtaliano huyo anakumbukwa mno kwa kuifungia bao la ushindi West Ham dhidi ya Manchester United katika Kombe la FA mwaka 2001.
    She shoots, she scores: Madonna or victory over Aston Villa - it's a tough choice
    Madonna 
    Up for the cup: Paolo Di Canio is looking forward to facing Aston Villa
    Paolo Di Canio


    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2225137/Sex-Madonna-good-beating-Aston-Villa-says-Paolo-Di-Canio.html#ixzz2Anwgd7Sk
    Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: DI CANIO: KUWAFUNGA VILLA TAMU KULIKO PENZI LA MADONNA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top