• HABARI MPYA

    Tuesday, October 30, 2012

    WACHEZAJI COASTAL UNION WALIVYOFAKAMIA KONI ZA AZAM KABLA YA KUCHEZA NA AZAM KESHOKUTWA

    Coastal Union ya Tanga imeendelea na mazoezi yake mjini Dar es Salaam kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC keshokutwa kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam. Leo jioni wamefanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi, Muhimbili, Dar es Salaam. Cheki picha za mazoezi yao. 

    Hapa wanakula Ice Cream za Azam baada ya mazoezi


    Kutoka kulia Lameck Dayton, Saidi Swedi na Suleiman Kassim 'Selembe'

    Atuepeke Green kulia

    Jakcosn Chove

    Nahodha Saidi Swedi 'Panucci'

    Selembe

    Benchi la Ufundi, kutoka kulia ni Kocha Msaidizi, Ally Kiddy, Kocha Mkuu, AHmed Morocco, Mkurugenzi wa Ufundi, Nassor Bin Slum na Kocha wa Makipa, Juma Pondamali
      
    Atupele Green anamtoka mtu mazoezini
    Atuepele Green kushoto
    Pamoja na kuwa Mkurugenzi wa Ufundi, lakini Nassor hufanya majukumu ya Kit Manager pia
    Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi akiwa na kiungo wa Coastal, Mohamed Bin Slum
    Morocco akijadiliana na Pondamali
    Daniel Lyanga, mtambo wa mabao wa Coastal Union
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: WACHEZAJI COASTAL UNION WALIVYOFAKAMIA KONI ZA AZAM KABLA YA KUCHEZA NA AZAM KESHOKUTWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top