• HABARI MPYA

        Tuesday, October 30, 2012

        WACHEZAJI COASTAL UNION WALIVYOFAKAMIA KONI ZA AZAM KABLA YA KUCHEZA NA AZAM KESHOKUTWA

        Coastal Union ya Tanga imeendelea na mazoezi yake mjini Dar es Salaam kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC keshokutwa kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam. Leo jioni wamefanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi, Muhimbili, Dar es Salaam. Cheki picha za mazoezi yao. 

        Hapa wanakula Ice Cream za Azam baada ya mazoezi


        Kutoka kulia Lameck Dayton, Saidi Swedi na Suleiman Kassim 'Selembe'

        Atuepeke Green kulia

        Jakcosn Chove

        Nahodha Saidi Swedi 'Panucci'

        Selembe

        Benchi la Ufundi, kutoka kulia ni Kocha Msaidizi, Ally Kiddy, Kocha Mkuu, AHmed Morocco, Mkurugenzi wa Ufundi, Nassor Bin Slum na Kocha wa Makipa, Juma Pondamali
          
        Atupele Green anamtoka mtu mazoezini
        Atuepele Green kushoto
        Pamoja na kuwa Mkurugenzi wa Ufundi, lakini Nassor hufanya majukumu ya Kit Manager pia
        Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi akiwa na kiungo wa Coastal, Mohamed Bin Slum
        Morocco akijadiliana na Pondamali
        Daniel Lyanga, mtambo wa mabao wa Coastal Union
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: WACHEZAJI COASTAL UNION WALIVYOFAKAMIA KONI ZA AZAM KABLA YA KUCHEZA NA AZAM KESHOKUTWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry