Msanii Edson Wilson, aka Baby Boy, (pichani) ambaye yupo chini ya lebo ya Zizzou Entertainment, ametoa wimbo mpya
uitwao Hey ambao tayari
umekwishafanyiwa video na kampuni ya Inzy Entertainment, ambayo amesema hiyo ni
zawadi kwa mashabiki wake baada ya kimya cha muda mrefu na amewaambia wakae
mkao wa kula kwa vigongo zaidi.
Wilkinson reveals Wales plane was hit by lightning
-
Boss Rhian Wilkinson says Wales are happy to be at home in Tuesday's
Women's World Cup qualifier against Czech Republic after revealing their
team plane wa...