![]() |
| Rooney anafunga |
![]() |
| John Terry anampongeza Rooney |
![]() |
| Ibra anawafunga Ufaransa |
![]() |
| Terry anaokoa bao la wazi |
BAO pekee la Wayne Rooney lilitosha kumfanya awe shujaa tena England wakati ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Ukraine na kuongoza Kundi D sambamba na kuingia Robo Fainali ya Euro 2012 ambako watamenyana na Italia.
Mshambuliaji huyo alifunga akiunganisha krosi ya Nahodha Steven Gerrad iliyopanguliwa na kipa Andriy Pyatov .
Pamoja na hayo, ilipoteza nafasi kibao na bao la wazi zaidi alikosa Marko Devic ambaye shuti lake lilionekana kuvuka mstari, kabla ya Terry kuosha na refa hakutoa bao.
Sweden iliyoifunga 2-0 Ufaransa, mabao ya Ibrahimovic dakika ya 54 na Larsson dakika ya 90, imeihakikishia England kufuzu kama kinara wa kundi hilo.
VIKOSI, KADI (5) & MABADILIKO (6)
England
- 01 Hart
- 02 Johnson
- 03 Cole Booked
- 06 Terry
- 15 Lescott
- 04 Gerrard Booked
- 11 Young
- 16 Milner (Walcott - 70' )
- 17 Parker
- 10 Rooney (Oxlade-Chamberlain - 87' )
- 22 Welbeck (Carroll - 82' )
BENCHI
- 13 Green
- 23 Butland
- 05 Kelly
- 12 Baines
- 14 Jones
- 18 Jagielka
- 07 Walcott
- 08 Henderson
- 19 Downing
- 20 Oxlade-Chamberlain
- 09 Carroll
- 21 Defoe
Ukraine
- 12 Pyatov
- 02 Selin
- 03 Khacheridi
- 20 Rakitskiy Booked
- 04 Tymoschuk Booked
- 06 Garmash (Nazarenko - 78' )
- 09 Gusev
- 11 Yarmolenko
- 19 Konoplienka
- 15 Milevskiy (Butko - 77' )
- 22 Devic (Shevchenko - 70' Booked )
BENCHI
- 01 Koval
- 23 Goryainov
- 05 Kucher
- 13 Shevchuk
- 17 Mykhalyk
- 21 Butko
- 08 Aliev
- 14 Rotan
- 18 Nazarenko
- 07 Shevchenko
- 10 Voronin
- 16 Seleznyov
REFA: V Kassai
MAHUDHURIO: 51,504






.png)
0 comments:
Post a Comment