BAO pekee la Wayne Rooney lilitosha kumfanya awe shujaa tena England wakati ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Ukraine na kuongoza Kundi D sambamba na kuingia Robo Fainali ya Euro 2012 ambako watamenyana na Italia.
Mshambuliaji huyo alifunga akiunganisha krosi ya Nahodha Steven Gerrad iliyopanguliwa na kipa Andriy Pyatov .
Pamoja na hayo, ilipoteza nafasi kibao na bao la wazi zaidi alikosa Marko Devic ambaye shuti lake lilionekana kuvuka mstari, kabla ya Terry kuosha na refa hakutoa bao.
Sweden iliyoifunga 2-0 Ufaransa, mabao ya Ibrahimovic dakika ya 54 na Larsson dakika ya 90, imeihakikishia England kufuzu kama kinara wa kundi hilo.

VIKOSI, KADI (5) & MABADILIKO (6)

England

  • 01 Hart
  • 02 Johnson
  • 03 Cole Booked
  • 06 Terry
  • 15 Lescott
  • 04 Gerrard Booked
  • 11 Young
  • 16 Milner (Walcott - 70' )
  • 17 Parker
  • 10 Rooney (Oxlade-Chamberlain - 87' )
  • 22 Welbeck (Carroll - 82' )

BENCHI

  • 13 Green
  • 23 Butland
  • 05 Kelly
  • 12 Baines
  • 14 Jones
  • 18 Jagielka
  • 07 Walcott
  • 08 Henderson
  • 19 Downing
  • 20 Oxlade-Chamberlain
  • 09 Carroll
  • 21 Defoe

Ukraine

  • 12 Pyatov
  • 02 Selin
  • 03 Khacheridi
  • 20 Rakitskiy Booked
  • 04 Tymoschuk Booked
  • 06 Garmash (Nazarenko - 78' )
  • 09 Gusev
  • 11 Yarmolenko
  • 19 Konoplienka
  • 15 Milevskiy (Butko - 77' )
  • 22 Devic (Shevchenko - 70' Booked )

BENCHI

  • 01 Koval
  • 23 Goryainov
  • 05 Kucher
  • 13 Shevchuk
  • 17 Mykhalyk
  • 21 Butko
  • 08 Aliev
  • 14 Rotan
  • 18 Nazarenko
  • 07 Shevchenko
  • 10 Voronin
  • 16 Seleznyov
REFA: V Kassai
MAHUDHURIO: 51,504

TAKWIMU ZA MECHI

Possession56%44%89minsEnglandUkraine

Shots

915

On target

45

Corners

610

Fouls

1111