TAARIFA ambazo BIN ZUBEIRY imezipata kutoka Goal.com zinasema kwamba, David Beckham ameachwa kwenye kikosi cha Uingereza kitakachocheza michuano ya Olimpiki, na Ryan Giggs, Craig Bellamy na Micah Richards wamebahatika kujumuishwa. Tunafuatilia zaidi ili kuthibitisha.
Melbourne star Ben Brown explains the bizarre reason he has always worn the No.50 guernsey
-
Many sports stars choose a jersey number because of family, superstition or
sentimental reasons. But Melbourne Demons star Ben Brown made a very choice
whe...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni