MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Kanda ya
Ziwa, Patrick Kisaka (kulia) akitoa maelezo mafupi muda mfupi kabla ya
kukabidhi zawadi ya pikipiki aina ya bajajI kwa Mariam Karumba, mwanafunzi wa
mwaka wa tatu katika chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT).
MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Kanda ya
Ziwa, Patrick Kisaka (kushoto) akikabihi funguo za bajaji kwa Mariam Karumba, mwanafunzi
wa mwaka wa tatu katika chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT), baada ya kujishindiakatika
promosheni ya Vumbua Hazina chini ya Kizibo, inayoendeshwa na SBL nchini kote.
GOTD: Johnsen v Nottingham Forest
-
Goal of the Day | United Legends defender Ronny Johnsen was also handy in
attack, as this strike from 1998/99 shows...
Faninfos für das U19-Pokalfinale in Potsdam
-
Am Freitag (20. Mai) spielt die U19 des BVB im DFB-Pokalfinale der Junioren
gegen den Nachwuchs des VfB Stuttgart. Das Spiel wird um 18 Uhr im
Babelsberger...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni