KLABU ya Arsenal imetangaza kumsajili mwanasoka wa kimataifa wa Ufaransa, Olivier Giroud (pichani) kwa mkataba wa muda mrefu. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amekamilisha vipimo vya afya kabla ya kusaini mkataba katika Uwanja wa mazoezi jana jioni London.
|
Patrick Vieira: Crystal Palace boss involved in altercation with pitch invader after Everton defeat
-
Crystal Palace manager Patrick Vieira is involved in an altercation with a
supporter during a pitch invasion following the club's dramatic Premier
League d...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni