KLABU ya Arsenal imetangaza kumsajili mwanasoka wa kimataifa wa Ufaransa, Olivier Giroud (pichani) kwa mkataba wa muda mrefu. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amekamilisha vipimo vya afya kabla ya kusaini mkataba katika Uwanja wa mazoezi jana jioni London.
|
Transfer: Arsenal eye stunning move for Real Madrid star Vinicius Jr
-
Arsenal are reportedly considering a move for Real Madrid winger Vinicius
Junior should the Brazilian fail to agree a new contract with the Spanish
giant...
1 minute ago


.png)
0 comments:
Post a Comment