• HABARI MPYA

    Saturday, June 30, 2012

    IRENE NDIYE MISS UBUNGO 2012



    Miss Ubungo 2012, Irene Sizari akiwa na washindi wake wa pili kushoto Mwaniumy Mustafa na wa tatu kulia Antonia Nyagunda wa tatu, baada ya shindano hilo
    Irene anavishwa taji




    Wakubwa na wanao

    Na Princess Asia
    KIMWANA Irene Sizari usiku wa kuamkia leo ameibuka Miss Ubungo 2012 katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Landmark, Ubungo akiwashinda washiriki wenzake 14.
    Katika onyesho hilo lililosindikizwa na burudani ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Mwaniumy Mustafa aliibuka mshindi wa pili, Antonia Nyaragunda wa tatu, Wema Mwanga wanne na Joyce Raphael wa tano.
    Wasichana wote watano wamejikatia tiketi ya kushiriki shindano la Miss Kinondoni Agosti, mwaka huu na baada ya hapo, Miss Tanzania, Novemba mwaka huu.
    Meza ya wakuu


    Majaji
    Rutta na Vimwana


    Nyoshi kulia na Patcho


    Toto Kalala


    Wazee wa Ngwasuma jukwaani
    Wanenguaji wa Ngwasuma wakicheza Mundes


    Ngwasuma


    Dina Ismail


    Mkurugenzi Hashima Lundenga kulia na mlimbwende


    Mkuu wa Itifaki Miss Tanzania, Makoye na mlimbwende


    Warembo woooooooteeeeeeeee


    Kimwana anapiga kazi


    Jaji Mkuu Sinta


    Dina Ismail


    Sinta


    Sinta


    Top 5


    Anko Hashim akitoa 'darasa'


    Mnenguaji wa Ngwasuma
    Dina \na nani sijui

    'Wanazi' wa Toto African, 

    Rutta na Makoye kulia

    Mauno ya Ngwasuma

    BIN ZUBEIRY na 'totoz'

    Rafiki yake Dina


    Sharobaro akifanya vituuuuuuuz

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IRENE NDIYE MISS UBUNGO 2012 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top