Konde la Maisha likimuingia Mashali |
Maisha anakumbatia, refa anawaachanisha |
Wanaume wanachapana |
Wanachapana |
Mara baada ya kupanda ulingoni, wanapewa mwongozo na refa wakiwa na wasaidizi wao. mwenye kofia ni mtoto wa Mashali |
Abdallah Mohamed kushoto akichapana na Yohana Mathayo kulia katika pambano la uzito wa Middle. Abdallah 'Prince Naseem' alishinda kwa pointi |
Juma Fundi kushoto akivuta kasi kumchapa Shaaban Madilu kulia. Fundi alishinda kwa pointi. |
Yona Godfrey kushoto akizuia konde la Venance Mponji. Yona alishinda kwa pointi. |
Anaondoka ulingoni baada ya kichapo |
Maisha akijikokota kuinuka baada ya kuangushwa na Mashali raundi ya tano |
Wanaume kazini |
Wanaume kazini |
0 comments:
Post a Comment