KLABU ya Tottenham imetangaza kwamba Gareth Bale amesaini mkataba mpya wa miaka minne, ambao utamuweka White Hart Lane hadi 2016, wameandika Goal.com. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Wales, kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa na habari za kuhama klabu hiyo kwenda Manchester United na Barcelona ambazo ziliripotiwa kumtaka nyota huyo mwenye umri wa miaka 22.
Report: Tiger Woods to Get $100M PGA Tour Equity Payout; Rory McIlroy Could
Get $50M
-
Tiger Woods will receive "up to $100 million," while Rory McIlroy could get
$50 million as equity payments from the PGA Tour after neither golfer
joined Sa...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment