�Nipo sehemu nafanya kazi nyingine kabisa tofauti na uigizaji ili niendeshe maisha yangu, lakini pia naweza kusema kuwa natafuta mtaji kwa ajili ya kutengeneza filamu yangu mwenyewe, nafikiria nikifanya hivyo angalau naweza kupata fedha kidogo, tofauti na filamu ya kushirikishwa,� anasema. Immaculata alitamba na filamu kama Ikunda, Black Mail, Born to Suffer na alishiriki katika wimbo wa Prof. Jay wa 'Nikusaidiaje' akiigiza kama binti kutoka kijijini. Mwanadada huyo anasema kuwa ana mpango wa kuwa mtayarishaji na kuigiza ili kujipatia kipato zaidi badala ya kuigiza filamu zinazoandaliwa na watayarishaji wengine. | ||
Osun election: Kalu congratulates Adeleke, says Tinubu’s future in Osun
bright despite APC’s loss
-
Former Governor of Abia State and Senator representing Abia North
Senatorial District, Senator Orji Uzor Kalu, has congratulated Osun State
Governor, Sen...
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment