• HABARI MPYA

    Tuesday, April 24, 2012

    ZIARA YA WASHINDI TUZO ZA KILI 2012

    Majaji wa shindano la kusaka wasanii watatu wenye vipaji watakaopanda jukwaani Jumamosi Aprili 28, mwaka huu mjini Dodoma pamoja na washindi wa Kili Music Awards Profesa Jay, Henry Mdimu, Juma Nature na Queen Darleen wakiwa kazini hapo jana. Mpambano utaendelea leo ambapo washindi watapatikana na tutawatangazia hapa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZIARA YA WASHINDI TUZO ZA KILI 2012 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top