• HABARI MPYA

    Saturday, April 28, 2012

    OBUA ATUPIWA VIRAGO ULAYA


    David Obua kuondoka Hearts

     27 Aprili, 2012 - Saa 19:05 GMT
    David Obua akichzea Uganda Cranes
    David Obua akichzea Uganda Cranes
    MWANASOKA wa kimataifa wa Uganda, David Obua anaelekea kuihama klabu yake, Hearts ya huko Scotland baada ya kuarifiwa kuwa hataongezewa mkataba mwishoni mwa msimu huu.
    Mcheza kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28, aliyehamia Scotlanda kutoka klabu ya Kaizer chiefs ya Afrika ya kusini mwezi julai mwaka 2008, ameichezea klabu ya Hearts mara 100 katika kipindi cha miaka minne.
    Lakini toka mwezi Febuari hajashiriki mechi na msemaji wa Hearts amesema kwenye tovuti ya klabu hio kua ''Tungependa kumshukuru David kwa huduma yake na mchango wakati wote alioichezea klabu hii na tunamtakia kila la heri.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OBUA ATUPIWA VIRAGO ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top