Mshambuliaji Mreno wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kukifungia kikosi cha kocha Zinedine Zidane dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona, Irunea kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 62 na Lucas Vazquez dakika ya 90 na zaidi, wakati la Osasuna lilifungwa na Sergio Leon dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles DE Brandon Graham shouts 'Dallas sucks!' while onstage at 2024 NFL
Draft, before Philly selects Iowa CB Cooper DeJean
-
Eagles defensive end Brandon Graham couldn't help but take a shot at the
Cowboys when he was brought onstage to announce a pick on Friday night.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment