Mshambuliaji Mreno wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kukifungia kikosi cha kocha Zinedine Zidane dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona, Irunea kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 62 na Lucas Vazquez dakika ya 90 na zaidi, wakati la Osasuna lilifungwa na Sergio Leon dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wike slams Fubara for seeking second term, says form collection broke
impeachment truce
-
• says remodeling of Abuja city gate brainchild of First Lady From Juliana
Taiwo-Obalonye, Abuja Minister of the Federal Capital Territory (FCT),
Nyesom ...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment