Mshambuliaji Mreno wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kukifungia kikosi cha kocha Zinedine Zidane dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona, Irunea kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 62 na Lucas Vazquez dakika ya 90 na zaidi, wakati la Osasuna lilifungwa na Sergio Leon dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Curtis Jones closes in on Inter Milan move - with midfielder
set for medical today ahead of signing five-year deal: WINDOW WATCH
-
The transfer window is now open until September 1 and it's sure to be a
busy period as clubs look to make big signings ahead of the new season.
Here are to...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment