Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimruka vizuri beki wa Prisons, Salum Kimenya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0
Mshambuliaji Mrundi wa Simba, Ibrahim Hajib akiifungia timu yake bao la tatu jana
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akipasua katikati ya mabeki wa Prisons
Viungo Mohammed Samatta wa Prisons (kushoto) na Shizza Kichuya wa Simba (kulia) wakiwania mpira jana
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kulia) akimtoka beki wa Prisons, Nurdin Chona jana
Mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio akimtoka beki wa Prisons, Jumanne Elfadhil
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Prisons
Waachezaji wa Simba na Prisons wakiwania mpira wa kona
Kikosi cha Simba katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Prisons jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam
Caitlin Clark Hyped as 'Real Deal' By WNBA Fans Despite Fever Preseason
Loss to Wings
-
Caitlin Clark made a strong first impression in her WNBA preseason debut on
Friday night. Although the Indiana Fever fell to the Dallas Wings by the
final…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment