Nyota wa zamani wa Manchester United, Memphis Depay akipiga saluti kushangilia baada ya kuifungia timu yake mpya, Lyon dakika ya 58 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nancy kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Mabao mengine ya Lyon yalifungwa na Mathieu Valbuena, Nabil Fekir na Alexandre Lacazette kwa penalti baada ya Depay kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Rumors on Dom Mysterio Surgery, The Rock Ending PG Era, WrestleMania 41
in Vegas
-
Bleacher Report catches you up on the latest news from the WWE Universe.
Dominik Mysterio Reportedly Set for Elbow Surgery; Dom Responds After
showing up on…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment