Nyota wa zamani wa Manchester United, Memphis Depay akipiga saluti kushangilia baada ya kuifungia timu yake mpya, Lyon dakika ya 58 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nancy kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Mabao mengine ya Lyon yalifungwa na Mathieu Valbuena, Nabil Fekir na Alexandre Lacazette kwa penalti baada ya Depay kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rams GM Spoke to Aaron Donald About Potential Return for NFL Playoffs amid
Retirement
-
Los Angeles Rams general manager Les Snead revealed that he spoke with star
defensive tackle Aaron Donald about possibly returning for a playoff run
despite…
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment