Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akijilaumu baada ya kukosa penalti iliyotolewa baada ya Ljubomir Fejsa kuunawa mpira kwenye boksi usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakifungwa 1-0 na wenyeji, Benfica Uwanja wa Luz mjini Lisbon, Ureno bao pekee la Kosta Mitroglou dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jerry Rice's Son Brenden, Frank Gore Jr. Top Landing Spots After 2024 NFL
Draft Day 2
-
After the first three rounds of the draft, a pair of NFL legends' sons
remain undrafted. USC wide receiver Brendan Rice, son of Jerry Rice, and
Southern Miss…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment