Beki hodari wa kati wa Simba, Deo Njohole ‘OCD’ (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Yanga wakati wa mapumziko katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Uganda, The Cranes mwaka 1992 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Njohole alitokea kambi ya timu ya taifa, Jeshi la Wokovu kwenda kuchezea Yanga kama mchezaji mwalikwa baada ya kushawishiwa na wachezaji wa klabu hiyo aliokuwa nao kambini Taifa Stars. Wengine pichani ni Lawrence Mwalusako (kulia), Wastara Baribari (mbele kabisa), Ramadhani Kilambo (kushoto) na Abubakar Salum ‘Sure Boy’ anayezungumza na Abbas Gulamali (sasa marehemu) aliyekuwa mfadhili wa klabu. Njohole hakuendelea kucheza Yanga baada ya mchezo huo.
Roger Goodell deflects boos alongside Eminem at 2024 NFL Draft by bringing
host city Detroit's favorite son on stage along with Lions greats Barry
Sanders, Calvin Johnson, and Aidan Hutchinson
-
Roger Goodell deflected the boos from the NFL Draft crowd in Detroit by
bringing out hometown favorite rapper Eminem.
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment