• HABARI MPYA

    Thursday, September 15, 2016

    AZAM YAMKWAMISHA KIPRE TCHETCHE KUCHEZA OMAN

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
    MSHAMBULIAJI Kipre Herman Tchetche amekwama kuichezea Al-Nahda Al-Buraimi ya Oman kutokana na klabu hiyo kushindwa kumalizana na Azam FC ya Tanzania.
    Kipre Tchetche amerejea nyumbani kwao Ivory Coast, baada ya Al-Nahda kushindwa kuwapa Azam FC dola za Kimarekani 50,000 (zaidi ya Sh. Milioni 100) walizotaka kumuachia mpachika nabao huyo. 
    Kipre Tchetche alikuwa amebakiza mwaka mmoja katika Mkataba wake Azam FC na akaondoka bila ridhaa ya klabu yake hiyo baada ya kuichezea kwa miaka mitano.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM YAMKWAMISHA KIPRE TCHETCHE KUCHEZA OMAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top