MTAALAMU SAIDO NTIBANZOKIZA AHITIMISHA UTUMISHI WAKE SIMBA SC
KIUNGO wa Kimataifa wa Burundi, Saido Ntibanzikoza (40) amekuwa mchezaji wa pili kuachwa Simba SC baada ya msimu mmoja na nusu wa kuitumikia timu kwa mafanikio. Ntibanzokiza alijiunga na Simba Januari mwaka jana akitokea Geita Gold kwa misimu yote miwili amekuwa mfungaji bora wa timu. Mchezaji wa kwanza kuachwa Simba ni Nahodha wa timu kwa mafanikio kwa misimu kadhaa, John Raphael Bocco (34) aliyejiunga na timu hiyo mwaka 2017 akitokea Azam FC.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment