// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); JKT TANZANIA RASMI TUTAENDELEA KUWA NAYO LIGI KUU MSIMU UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE JKT TANZANIA RASMI TUTAENDELEA KUWA NAYO LIGI KUU MSIMU UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, June 08, 2024

    JKT TANZANIA RASMI TUTAENDELEA KUWA NAYO LIGI KUU MSIMU UJAO


    RASMI JKT Tanzania imenusurika kushuka Daraja baada ya sare ya bila mabao na Tabora United katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kubaki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam. 
    JKT imenufaika na ushindi mnono wa ugenini, mabao 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Jumanne  Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora na sasa Tabora United watakwenda kumenyana na Biashara United ya Mara kutoka Championship kwa michezo mingine miwili ya nyumbani na ugenini kujaribu tena kubaki Ligi Kuu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKT TANZANIA RASMI TUTAENDELEA KUWA NAYO LIGI KUU MSIMU UJAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top