SHAABAN CHILUNDA NAYE AONYESHWA GETI LA KUTOKEA SIMBA SC
MSHAMBULIAJI Shaaban Iddi Chilunda amekuwa mchezaji wa tatu kuachwa na klabu ya Simba SC baada ya kumalizika msimu ikishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Chilunda (25) alijiunga na Simba SC mwanzoni mwa msimu akitokea Azam FC, lakini wakati wa dirisha dogo akatolewa kwa mkopo KMC. Anakuwa mchezaji wa tatu kuachwa baada ya aliyekuwa Nahodha John Raphael Bocco na kiungo Mrundi, Saido Ntibanzokiza.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment