KLABU ya Tanzania Prisons imemtambulisha Mbwana Makatta kuwa Kocha wake mpya Mkuu kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Makatta mwenye uzoefu wa kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu kwa zaidi ya miaka 30 - anajiunga na Tanzania Prisons baada ya kuondolewa Pamba Jiji FC kufuatia kuipandisha Ligi Kuu.
Djokovic wins first match with coach Murray in box
-
Novak Djokovic comes from a set down to win his opening-round Australian
Open match, his first victory with three-time Grand Slam champion Andy
Murray in h...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment