WASHAMBULIAJI WAWILI NDUGU, DANIEL NA MDOGO WAKE AYOUB LYANGA WAKIFANYA MAZOEZI YA PAMOJA NYUMBANI KUJIWEKA FITI
Wachezaji wawili ndugu, washambuliaji Daniel Lyanga wa JKT Tanzania (kulia) na mdogo wake, Ayoub Lyanga wa Coastal Union wakifanya mazoezi ya pamoja kujiweka fiti kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kwa sababu ya mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Item Reviewed: WASHAMBULIAJI WAWILI NDUGU, DANIEL NA MDOGO WAKE AYOUB LYANGA WAKIFANYA MAZOEZI YA PAMOJA NYUMBANI KUJIWEKA FITI
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Trilioni 3.867 Kuimarisha Ujenzi, Uchukuzi
-
Na Ahmed Sagaff Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha
bajeti ya shilingi trilioni 3.867 ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa Mwaka
wa Fedha...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni