KIPA namba moja wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Aishi Salum Manula akijifua kwenye mazoezi binafsi Jijini Dar es Salaam kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi ya vikosi vyake vyote kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona duniani kote, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
'What a start!' Graham gives Scotland early lead against France
-
Darcy Graham scores an early try to give Scotland the lead over France in
the Six Nations at Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment