Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
WNBA risks angering fans with Sophie Cunningham message as Fever star
celebrates 30th birthday amid league's trans controversy
-
Cunningham turned 30 years old as the Fever defeated the Atlanta Dream
95-91 in a dramatic overtime thriller on Sunday. She spent the final few
weeks of he...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment