Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Today’s Papers: Spalletti’s Juventus rebuild, Greenwood yes for Roma
-
La Gazzetta dello SportJuve go with Diaz Time for hits, Spalletti will have
a new attackNegotiating for Brahim and seeing Sorloth. Dibu MArtinez opens
the ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment