Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Dressed in our Sunday best
-
The Reds are looking smart in their Paul Smith suits, ahead of the final
against Chelsea.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment