Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Nick Kyrgios puts first set meltdown behind him to defeat British world No 219 Paul Jubb
-
Nick Kyrgios progressed into the second round at Wimbledon, despite making
hard work of beating British world No.219 Paul Jubb.
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni