Wanasoka ndugu, beki Kasongo Athumani Mgaya wa Simba SC (kushoto) akiwania mpira dhidi ya kaka yake, Issa Athumani Mgaya wa Yanga SC (sasa marehemu) katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) baina ya watani hao wa jadi Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yote yakifungwa Said Mwamba 'Kizota' (sasa marehemhu) dakika ya 47 na 57 mara zote akimalizia pasi za Zamoyoni Mogella, wakati bao pekee la Simba SC lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia) dakika ya 75
WNBA risks angering fans with Sophie Cunningham message as Fever star
celebrates 30th birthday amid league's trans controversy
-
Cunningham turned 30 years old as the Fever defeated the Atlanta Dream
95-91 in a dramatic overtime thriller on Sunday. She spent the final few
weeks of he...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment