Kipa wa Simba SC, Aishi Salum Manula (kushoto) alimkaribisha mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda kucheza naye Games nyumbani kwake, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19. Manula na Chilunda wote wamewahi kucheza pamoja Azam FC baada ya kuibuliwa kwenye akademi ya klabu hiyo.
Determined Alex de Minaur battles to book his place in the fourth round of
the Australian Open with gutsy comeback vs Francisco Cerundolo
-
It was not all plain sailing for the Sydneysider, who sealed a 7-5 6-7
(7-3) 3-6 3-6 victory against world No 31 Francisco Cerundolo.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment