Kipa wa Simba SC, Aishi Salum Manula (kushoto) alimkaribisha mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda kucheza naye Games nyumbani kwake, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19. Manula na Chilunda wote wamewahi kucheza pamoja Azam FC baada ya kuibuliwa kwenye akademi ya klabu hiyo.
WWE Rumors: The Cavinder Twins Haven't Signed Full-Time Contracts, Still on NIL Deal
-
WWE put the Cavinder Twins on NXT this week even though they haven't signed
performance contracts with the company yet. Per Dave Meltzer on Wrestling
Obser...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment