• HABARI MPYA

    Saturday, April 04, 2020

    KAPTENI SAMATTA YUKO FITI NA MWENYE FURAHA KABISA PAMOJA NA TISHIO LA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA DUNIA NZIMA

    Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta, akifurahia nje ya nyumbani kwake, mitaa ya Aston, Jijini Birmingham anakochezea klabu ya Aston Villa ya Ligi Kuu ya England, kipindi hiki shughuli zote za michezo zimesitishwa dunia nzima kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi ya corona (COVID19) 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAPTENI SAMATTA YUKO FITI NA MWENYE FURAHA KABISA PAMOJA NA TISHIO LA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA DUNIA NZIMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top