AMBAVYO SHAABAN IDDI CHILUNDA, NYOTA WA AZAM FC ANA VIFAA VINGI MAALUM KWA MAZOEZI BINAFSI NYUMBANI
Mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda akifanya mazoezi binafsi nyumbani kwake kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi ya timu zake zote kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona duniani kote vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya tumbo katika kifaa maalum alichonacho nyumbani kwake
Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya kunyonga baiskeli maalum isiyotembea aliyonacho nyumbani kwake
Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya tumbo na eneo lote la juu la mwili
Shaaban Iddi Chilunda ana vifaa vingi maalum kwa mazoezi ya nyumbani
Item Reviewed: AMBAVYO SHAABAN IDDI CHILUNDA, NYOTA WA AZAM FC ANA VIFAA VINGI MAALUM KWA MAZOEZI BINAFSI NYUMBANI
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Marcus Rashford wants Man United stay
-
Marcus Rashford doesn't want to move away from Manchester United as he
feels he still has a huge role to play. The striker's attitude has been
questioned b...
Trilioni 3.867 Kuimarisha Ujenzi, Uchukuzi
-
Na Ahmed Sagaff Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha
bajeti ya shilingi trilioni 3.867 ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa Mwaka
wa Fedha...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni