• HABARI MPYA

    Tuesday, April 21, 2020

    AMBAVYO SHAABAN IDDI CHILUNDA, NYOTA WA AZAM FC ANA VIFAA VINGI MAALUM KWA MAZOEZI BINAFSI NYUMBANI

    Mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda akifanya mazoezi binafsi nyumbani kwake kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi ya timu zake zote kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona duniani kote vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
    Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya tumbo katika kifaa maalum alichonacho nyumbani kwake 
    Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya kunyonga baiskeli maalum isiyotembea aliyonacho nyumbani kwake 
    Hapa Shaaban Iddi Chilunda anafanya mazoezi ya tumbo na eneo lote la juu la mwili 
    Shaaban Iddi Chilunda ana vifaa vingi maalum kwa mazoezi ya nyumbani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO SHAABAN IDDI CHILUNDA, NYOTA WA AZAM FC ANA VIFAA VINGI MAALUM KWA MAZOEZI BINAFSI NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top