Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Uruguay kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini leo Uwanja wa Taifa wa Julio Martínez Pradanos mjini Santiago, Chile. Bao lingine la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas wakati la Uruguay lilifungwa na Edinson Cavani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy rivalries put aside as MND-stricken Jai Arrow is honoured at AFL's
Big Freeze
-
Retired NRL star Jai Arrow is being honoured in some special ways - and has
now made an appearance on one of the AFL's most important days
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment