Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Uruguay kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini leo Uwanja wa Taifa wa Julio Martínez Pradanos mjini Santiago, Chile. Bao lingine la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas wakati la Uruguay lilifungwa na Edinson Cavani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shams: Giannis, Damian Lillard in Doubt for Bucks-Pacers Game 5 Due to
Injuries
-
The Milwaukee Bucks may be significantly shorthanded once again when they
take on the Indiana Pacers in Tuesday's Game 5 of their first-round playoff
series.…
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment