• HABARI MPYA

    Thursday, August 18, 2016

    AZAM NA YANGA KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Nahodha wa Azam FC, John Bocco akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Yanga, Mtogo, Vincent Bossou katika mchezo wa Ngao ya Jamii jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Azam ilishinda kwa penalti 4-1 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 90 
    Haruna Niyonzima wa Yanga akimtoka kiungo mwenzake wa Rwanda, Jean Baptiste Mugiraneza wa Azam FC
    Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa akimtoka beki wa Yanga, Hassan Kessy
    Beki wa Azam FC, Ismail Adam akimtoka kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi
    Mshambuliaji wa Azam FC, Mzimbabwe Francesco Zekumbariwa akiwatoka wachezaji wa Yanga
    Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma akimtoka Ismail Adam wa Azam 
    Hassan Kessy wa Yanga kulia akijivuta kuufuata mpira baada ya beki wa Azam FC, David Mwantika kuanguka
    Wachezaji wa Yanga na Azam wakigombea mpifra; Kutoka kulia Mwinyi Hajji Mngwali, Salum Abubakar 'Sure Boy', Juma Mahadhi na Ismail Adam
    Kikosi cha Yanga kilichoanza katika mchezo wa jana
    Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mchezo wa jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM NA YANGA KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top